Wednesday, 7 May 2025

POLISI POLISI WAZIONDOA HOFU ASASI ZA KIRAIA USALAMA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

Nihifadhi Abdulla JESHI LA POLISI ZANZIBAR limezitoa hofu Asasi za Kiraia zinazoendelea kusimamia haki za Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ZNZ ambapo limesema litaendelea kuhakikishia Haki, Ulinzi na Usalama kwa makundi hayo katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu Mwaka huu 2025 zinalindwa kikamilifu. Kauli...
Share:

MHE. CHATANDA AMPONGEZA RAIS KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI RUFIJI

Na Mwandishi Wetu.. Mwenyekiti wa UWT- CCM Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya bilioni 25 inayotekelezwa wilayani Rufiji na kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo. Mbali na kumpongeza...
Share:

Tuesday, 6 May 2025

TEHAMA KUBORESHA ELIMU KWA MAFUNZO YA WALIMU

TEHAMA ni nyenzo muhimu katika sekta ya elimu, kwa kutambua hilo Serikali imewezesha mafunzo kwa walimu ili kuongeza maarifa na kuboresha mbinu za ufundishaji na ujifunzaji ngazi mbalimbali za elimu. Ameeleza hayo Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Aprili 06,...
Share:

AMREF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA MKUNGA DUNIANI 2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha (kushoto) akipewa maelezo katika banda la Amref Tanzania wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha akizungumza na wananchi, wageni na wadau mbalimbali waliohudhuria...
Share:

MATHIAS CANAL ASHINDA TUZO YA SAMIA KALAMU AWARDS, WAZIRI ULEGA AMPA SHAVU MBELE YA RAIS SAMIA

Na Dotto Kwilasa,DAR Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Group Limited Ndg Mathias Canal ameshinda Tuzo mbili za SAMIA KALAMU AWARDS sekta ya Ujenzi na chombo bora cha mtandaoni. Pamoja na zawadi ya Cheti, Ngao, Tsh Milioni 10, lakini pia Mathias Canal amezawadiwa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE MEI 6,2025

Magazetini leo     ...
Share:

Monday, 5 May 2025

KAMHONGA MKE WANGU SH5.7 MILIONI LAKINI HAJAAMBULIA KITU

Jina langu ni Frey, tumeishi na mke wangu Tuma kwa miaka 12 ndani ya ndoa yetu, naweza kusema kati ya wanaume duniani ambao wamefaidi matunda ya ndoa mimi ni mmoja wapo. Nasema hivyo kwa sababu tangu nimemuoa huyu mke wangu sikumbuki kama kuna siku tumewahi kugombana au kununiana ndani ya nyumba,...
Share:

SHINYANGA WENYEJI MAADHIMISHO SIKU YA MKUNGA DUNIANI KITAIFA

Na Marco Maduhu,SHINYANGA MAADHIMISHO ya Siku ya Mkunga Duniani Kitaifa yanafanyika mkoani Shinyanga, huku Mgeni Rasmi akiwa ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk.Seif Shekalaghe. Maadhimisho hayo yameanza leo Mei 4,2025 na yatahitimishwa kesho Mei 5 na yanafanyika katika Viwanja vya Zimamoto...
Share:

Sunday, 4 May 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU MEI 5,2025

Magazetini ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger